Nakukaribisha UjuziNet.co.tz ndani ya Mentorship Box.
Kuna mambo makuu 6 nitakusaidia na kukuletea matokeo 100%
kibiashara ukinitumia kupitia Mentorship Box. Mimi ni mtu ninayefanya kwa
vitendo kupitia biashara zangu kuanzia Sekta ya Kilimo, Elimu, Afya, Burudani
na Nishati Mbadala. Nikiwa kama mwekezaji mwenza katika kampuni hizo…Ninajua na
nitakuongoza kwa yafuatayo ndani ya MentorshipBox…
TAFITI ZA KIBIASHARA, FURSA NA UWEKEZAJI
Kukupa tafiti za Fursa na biashara katika Mkoa husika, nchi
nzima na hata Africa. Kuanzia market research, taarifa na hata watu muhimu
wanaoweza kukupeleka mbele kwenye fursa husika. Uwekezaji, Masoko, Mauzo, Fedha
nk… Ndiyo maana nasafiri kila mkoa, natembelea nchi mbalimbali za Afrika na
kukusanya data.
NAMNA YA KUPATA MITAJI NA WAWEKEZAJI.
Hii ikiwa ni pamoja na documents zote za kutafutia mitaji kama
proposals, pitch decks na documents nyingine na hata contacts za wawekezaji
kadhaa ikiwa ni pamoja na kuona namna biashara yako inaweza kusimama ili iwekezeke.
KUKUWEZESHA KUUZA NA KUKUZA MAUZO.
Namna unavyoweza kuongeza mauzo kwenye biashara yako, namna
unavyoweza kutawala soko lako na kukusanya wateja...nk
KUCHUKUA HATUA.
Kama ni muoga wa kuchukua hatua na kuanza kitu au biashara au
project yoyote inayohusu biashara fulani au fursa yoyote
KUJENGA MIFUMO YA BIASHARA YAKO.
Hii inakuwezesha kusimamisha na kuendeleza biashara kubwa
itakayoishi hata pale ambapo haupo Ikiwa ni pamoja na kukujengea mfumo mzuri kibiashara
. Kupata partners sahihi kwenye biashara yako na hata mradi wako...na hata
kwenye kampuni yako.
KUAJIRI WATU SAHIHI NA PARTNERS SAHIHI.
Kukuelekeza na kukuunganisha na watu sahihi au kujifunza namna
unaweza kuajiri na kuwaongoza watu kwenye kampuni yako kubwa.
Ndiyo maana nakuhimiza sasa…ingia na jisajili ndani ya
Mentorship Box (Anza, Jenga na Kuza Biashara au Taasisi Yako)
Nakukaribisha sasa kwenye program ya Mentorship Box ya mwaka
mzima. Mentorship hii ni kila siku ikiwa ni pamoja na maongezi ya simu moja kwa
moja kwa kila mtu.
Programu hii ni tofauti na programu nyingine. Ni two way
communication. Yaani kila aliye humu ndani lazima atoe ushirikiano wa moja kwa
moja kwa vitendo kutokana na maelekezo atakayopewa.
Programu hii itakuwa na mambo yafuatayo:
a) Passive Mode
Hii ni session ya kwanza, inayokulazima mwanafunzi humu ndani
kufuatilia kwa umakini masomo yatakayotolewa kwa maandishi, sauti na video.
Kuna vitabu ambavyo kila mtu amepewa na kama hujapata hakikisha unavipata.
Ndani ya mwezi mmoja, kila mtu humu ndani aliyenikubali kuwa mentor wangu kuna
vitabu kuanzia 5 ambavyo ni lazima uvisome ndani ya mwezi huu mmoja kwani
vimebeba hatima ya mwelekeo wetu. Vitabu hivi vitatolewa humu. Kuna vitabu vya
mauzo, vitabu vya sekta uliyochagua. Ndani ya Mentorship Box kuna Library ya
Vitabu vya Kila aina, sekta mbalimbali kuanzia Kilimo, Ufugaji, Usafiri,
Uwekezaji, Bima, Mazingira…yaani sekta zote unazozijua…kila mmoja atakuwa na
uchaguzi wa kitabu gani anahitaji na kuangalia Library kama kuna kitabu chake…Ikitokea
hakuna hicho kitabu basi anaomba ili kitabu kiongezwe kwenye Library ya
Mentorship Box…Vitabu vinavyohusu uwekezaji, vitabu vinavyohusu masoko
kiundani, vitabu vinavyohusu uendeshaji wa biashara kuanzia kuanza mpaka
kuendesha, vitabu hivi vitakutengeneza kuwa mtu sahihi. Kuna audio contents,
kila mmoja analazimika kuzisikiliza kwa umakini, kuna video ambazo nyingine ni
case studies za biashara mbalimbali unazoweza kujifunza kupitia wenzetu
majirani wanavyofanya, wafanyabiashara nk…Hizi zote ni passive..yaani ni
contents za kiundani haswaa. Hapa nakuomba sana ukae mkao wa kusoma …manake ni
masomo ya nadharia zaidi. Hapa ni zaidi ya MBA ..Utakuwa bora kuzidi
aliyemaliza MBA
Session hii itaambatana na kila mwanafunzi kumjua mwanafunzi
mwenzake na kujiuliza mwenyewe ni kitu gani naweza kushirikiana naye, lazima
ujiulize anauza nini na naweza kumuuzia nini, inawezekana unaweza kuwa mteja
wake au akawa mteja wako kulingana na uhitaji, hivyo usiishie kusikiliza na
kujifunza lazima ujifunze namna ya kushirikiana na wengine ambao kuna comments
mbalimbali ndani ya Kozi utakutana na wenzako na kuchat na wenzako, biashara ni
kushirikiana na watu, mjue kila mwanafunzi na kuona nini unaweza kumuuzia au
kumsaidia, lazima kila mmoja ajifunze namna ya kutumia Golden Rule na
kuunganisha nguvu pamoja. Natamani watu kutoka humu wawe ndugu, marafiki na
familia zinazopendana na kuunganishana ikiwa ni pamoja na kusaidiana. Yapo
mengi sana hapa endelea kufuatilia…
b) Practice Mode.
Katika session hii ni kwamba, tofauti na wengine wanavyofanya
kwenye masomo yao, huwa wanaishia hatua ya kwanza. Mimi naenda zaidi. Hii ni
mentorship ya tofauti. Kila mwanafunzi lazima azame kiundani kupitia hatua ya
kwanza, kuhusu sekta yake, wengine tayari wana biashara zao…hivyo kila mtu
lazima afanye kwa vitendo. Nitakuwa na muda wa kujua nani amefanya nini
kulingana na biashara au fursa yake. Kuna watu ambao nitawaunganisha kwa wadau
mbalimbali, labda ni partners Fulani ..ambao unatakiwa kuwasiliana nao au
kuwaona…Kuna watu ambao hawajaanza biashara ..nitakuwa na muda wa kujua kama
ameanza ama la…lazima kila mmoja afanye…lazima uchukue hatua…ufanye kwa vitendo
kwa yale uliyojifunza. Tutakuwa na muda wa kusikiliza kila mtu, kujua nini
kizuizi kinachomzuia kuanza au kufanya kisha kwa pamoja tunakiondoa…Kila mmoja
lazima aingie kazini afanye. Kama ni kuuza lazima tusikie umeuza kiasi gani na
kwanini umeshindwa kufikia target. Tutawekeana target, na kupeana repoti kila
mmoja nini umefanya na wapi umekwama na tunasaidianaje. Hii si mentorship ya
kukaa darasani na kusoma bila matendo. Ukisoma lazima ufanye , lazima uchukue
hatua kwasababu kutakuwa na repoti kila siku, au kila wiki kuhakikisha kila
mmoja anafanya. Hii ni session ngumu sana ambayo kwa wengine wasiochukua hatua
tutasumbuana sana. Mentorship siyo mwalimu anakaa na kufundisha kisha anakaa
pembeni ni pamoja na kurepoti wapi na wapi umeenda, nini umefanya, umekwama
wapi na tunashauriana nini kifanyike…hapa ni kila mmoja ..hakuna atakayebaki.
Inawezekana biashara yako imekwama mahali tutakaa pamoja na kushauriana kila
mmoja. Kuhusu mitaji, kila mmoja lazima tuhakikishe anajua kuomba mitaji, na
awe na business plan pamoja na pitch deck na kila mmoja atajifunza na kuanza
kuomba kwa wawekezaji, kwahiyo ni kila siku ni madarasa
c) Active Mode. Hapa ni session ambayo tunaenda mbali zaidi ya
Practice Mode. Hapa nataka kila mmoja baada ya mwezi awe na biashara ambayo ipo
active. Ndani ya mwezi mmoja kila mwenye biashara awe na matokeo ya kuonyesha
kuhusu biashara yake ambayo ipo active. Kipimo cha mentorship hii kitakuwa siku
ya mwisho, kuona nani amesimama na yupo active kibiashara. Yaani lazima kila
mtu awe na kitu cha kuonyesha. Kama unaingia katika mentorship hii huna biashara
basi ndani ya miezi mitatu lazima uwe na biashara hata kama bado hujakamilisha
usajili lazima uwe active kukamilisha usajili na uwe na kitu unachouza na upo
active. Kama ni project lazima ianze, kama ni biashara lazima ianze, kama ni
kuendeleza biashara yako lazima tujue umepiga hatua kiasi gani mpaka
ulipofikia….Baada ya hapa yaani mwisho wa mwezi kumaliza session, kuna wale
waliofanya vizuri ndani ya mwezi kibiashara nitawafanyia surprise, kama hana
mtaji, ajiandae kwa surprise ya kuunganishwa na diaspora wa kufanana naye au
kitu kingine kikubwa kitakachompeleka mbele ambako hakutarajia.
Kwa kumalizia naomba kila mmoja ajipange kufuatilia fursa
zinazozalishwa na aina 10 za Trends zinazoendelea Afrika. Kuna trends
zimejificha ambazo wengi bado hawajazijua zinazozalisha fursa mbalimbali kwa
watu wajanja wanaoendana na mabadiliko yaani Trends. Naomba nianze kuzitaja
1. TRENDi YA MABADILIKO YA HALI YA HEWA YAANI CLIMATE CHANGE
TRENDS. Wajasiriamali wengi kwa Afrika bado hawajaamka kuendana na trendi ya
mabadiliko ya hali ya hewa. Watanzania wengi bado hawajajua kwamba hata mitaji
mingi ya pesa za bure inayotolewa na mataifa au makampuni ya kimataifa
inapendelea zaidi wale wanaofanya biashara kwa kuangalia mabadiliko ya hali ya
hewa. Mentor wangu mwenyewe aliniambia, Tenganamba angalia kama unaweza
kuifanya biashara yako iendane na trends zinazoendelea duniani ili upate
grants, yaani free money. Matunda yameshaanza kuonekana. Dunia inakokwenda si
kule tulikotoka. Kuna viwanda vinavyozalisha hewa mbaya wanatafutwa wafanyabiashara
wenye njia mbadala na mitaji ipo, kuna uchafuzi wa mazingira, wanatafutwa
wafanyabiashara watakaokuja na majibu ya kufanya biashara zinazosafisha
mazingira, yaani kuna mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na fursa nyingi sana
zinazozaliwa kupitia trend hii… Unafahamu kuhusu fursa ya kulima magugu bahari
yaa sea weed? Unajua sea weed zinatumika kuzalisha bidhaa gani? Unajua
Zanzibara kuna watu wametajirika kupitia Sea Weed? Unajua Bakhresa akiwa mdogo
alianzia biashara ya kuuza vitu vya baharini ikiwa ni pamoja na sea weed ..hapo
akiwa mdogo sana. Kuna vikombe vya plastic ambavyo degradable vinazalishwa na
sea weed nitakuonyesha namna ya kufanya ndani ya mentorship lakini kwa wale
ambao wapo au watapendelea fursa hii, nitakupa watu wa kuwasiliana nao na hata
kuwatembelea au kuungana nao kwa Zanzibar na sehemu nyingine Tanzania.
Hivyo basi , trend hii imezalisha fursa kwa wajanja watakaokuja
na BIASHARA YA KUZALISHA VIFUNGASHIO, BIASHARA YA INAYOGUSA MAZINGIRA ikiwa ni
pamoja na kuzalisha bidhaa kupitia uchafu, green building materials yaani vifaa
mbalimbali vya ujenzi vinavyozuia uchafuzi au uharibifu wa mazingira na
nyingine nyingi nitakuelezea kwa wewe ambaye unazama kwa sekta hii nitakupa
wapi uende na nani uwasiliane naye ili ufanye kwa vitendo.. Green
transportation services or logistics etc, social enterprises ikiwa ni pamoja na
tree planting…hizi ni fursa zinazopewa kipaumbele kwenye mitaji ile ya bure
nitakuelezea ndani ya Mentorship Box…
2. TRENDI YA PILI NI AFROCENTRISM YAANI UAFRIKA.
Kumekuwa na trendi kubwa ya uafrika. Yaani kuna wateja wananunua
vitu kwasababu ya uafrika, yaani vimebeba uzalendo wa kiafrika. Nitakupa mfano
wa dada mmoja ambaye anatengeneza High end interior design yaani anazalisha
interior design za kiafrika zinazouzwa kwa bei kubwa sana, anazalisha vifaa vya
mambo vyenye uafrika na kuuza kwa bei kubwa, anazalisha fenicha za kiafrika,
wengine wanazalisha milango ya kiafrika, wengine wanazalisha vitanda vya
kiafrika, wengine wanajenga nyumba zenye mvuto wa kiafrika, wengine wanazalisha
nguo zenye UAFRIKA, kuna wengine wanazalisha vifungashio vyenye mvuto wa
kiafrika. Yaani nawajua mpaka wanafanya export ya Chai Iringa kwa mvuto wa
KIAFRIKA.
Hapa kuna fursa za kufa mtu. Yaani ni balaa. Kwa wale
watakaotaka kuzama hapa wataniambia lakini nitajua kulingana na mahitaji
mtakayotuma inbox, nitajua huyu anatakiwa kujifunza nini na kufanya nini..
Trends nyingine kuanzia KULA KIAFYA NA LIFESTYLE yaani Health
Eating and Lifestyle na nyingine saba tutazisoma ikiwa ni pamoja na Fursa zake
zinazotokana na trends hizo na namna ya kufanya kwenye biashara yako kuendana
na trends hizo tutashirikiana kwa ukaribu sana.
Gharama ya kuwa ndani ya MentorshipBox Tshs.750,000 kwa mwaka.
Wengine hufanya mpaka Tshs.350,000 kwa mwezi na siyo mwaka.
Watu wafanyabiashara ambao nimewahi kuwafanyia Tshs.750,000 kwa
mwaka.
Lakini sasa ninataka kukukaribisha rasmi kwa MentorshipBox ndani
ya www.UjuziNet.co.tz . Kwasababu ni
mgeni wangu rasmi naomba nikufanyie kitu ambacho sijawahi kufanya na sintafanya
kamwe huko mbeleni… Ungana na wenzako kwenye MentorshipBox hii ambapo kama
ukiamua kuingia sasa hivi utalipia Tshs.55,000
tu na kupata Access ya Mentorship Box mwaka
mzima au zaidi. Gharama itakuwa inaongezeka kila mara mpaka kufikia
Tshs.750,000 kwa mwaka lakini kama ukiamua kujiunga sasa hivi…hutakuja kulipia
gharama yoyote itakayoongezeka. Maamuzi ambayo utafanya sasa hivi baada ya
kuona tangazo hili yatakufanya uokoe Tshs. 695,000. Thamani ya MentorshipBox
program na bei yake ya siku zote ni Tshs.750,000 kwa mwaka. Fanya maamuzi ya
Kuchangamkia fursa hii kwa kuingia ndani ya Mentorship Box sasa hivi…kwa
Tshs.55,000. Kuchelewa kwako kutakugharimu pesa nyingi …Fanya maamuzi sasa hivi….
Kwa Tshs.55,000. Ingia mara moja ndani ya www.UjuziNet.co.tz kama ukikwama kuingia kupitia mfumo wa UjuziNet nipigie simu au tuma meseji kwa
whatsapp or kawaida kwa namba hii 0655973248. Ingia sasa ndani ya
MentorshipBox..Ungana na wenzako waliojiunga kufanya makubwa..
Mentorship Box(Anza, Endeleza,Simamia na Kuza Biashara au Taasisi yako)
No Review found