"UKUBWA WA MAWAZO SI UKUBWA WA MAFANIKIO YAKO. KAMA HUWEZI KUUZA UTAPORWA NA WAUZAJI NA HATA KAMA HUTAPORWA UTAISHIA KUFA NJAA TU MJINI. KIKUBWA KULIKO YOTE NI SANAA YA KUUZA."
Kama huwezi kuuza,
Kama huwezi kumfanya mteja atoe hela yake mfukoni ,
Kama huwezi kushawishi mtu akubaliane na wewe funga biashara yako,
achana kabisa na uzalishaji kwasababu unapoteza muda.
Eti unaniambia nazalisha bidhaa nzuri au sijui mimi ni mshauri au sijui tunatoa
huduma nzuri sijui bima sijui nini kama huwezi kumfanya mteja atoe hela
mfukoni ...vya nini hivyo vyoteeee?
Hata kama una bidhaa nzuri, wazo kubwaa au huduma nzuri kupita huduma
zote duniani lakini huna ujuzi wa kuuza sahau mafanikio. Sahau kabisa
MAMBO UTAKAYOJIFUNZA NA KUNUFAIKA
· Utajifunza namna yakubadilisha watu
hata wale usiowajua kuwa wateja wako.
· Utajifunza namna ya kuja na VITUKO
ambavyo haviwezi kupuuzwa vya kuwavuta wateja
· Utajifunza namna ya Kutengeneza
Chambo zinazofanya kazi za kunasa wateja
· Hakuna anayeweza kusoma akili yako.
Hivyo basi, matumizi mazuri ya meseji unayotaka kufikisha kwa wateja ni ujuzi
wa mamilioni. Ujuzi huo unaitwa Copywritting. Utajifunza namna bora ya
kufikisha ujumbe unaoweza kumfanya mtu atoe hela yake mfukoni.
· Utajifunza misingi saba ya kuuza na
namna unaweza kuwa mashine inayouza(Selling Machine)
· Utajifunza mbinu 2 kubwa za kumfanya
mtu anunue kwako na aendelee kununua kwako.
· Utajifunza hatua kubwa 7 za kumfanya
mteja atoe hela yake mfukoni.
· Utajifunza kutengeneza ofa 20
zisizopingika hata iweje, mteja atatoa hela tu
· Utajifunza mbinu mbalimbali za
kubadili watu hata usiowajua kuwa wafuasi wako kwenye biashara yako.
· Vitabu na Miongozo mbalimbali pamoja
na Video za mifano unazoweza kujifunza kwao.
WALENGWA
KATIKA KOZI HII NI WAFUATAO:
JISAJILI LEO UPATE ACCESS YA KOZI HII
MILELE...
ONGEZA MAUZO MENGI,TAWALA SOKO
No Review found